iqna

IQNA

Mufti wa Quds na ardhi za Palestina amewataka Wapalestina kushikamana kwa ajili ya kukabiliana na njama na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3365951    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/21